Posts

Showing posts from January, 2023

Kubarikiwa Inamaanisha Nini!

Image
Watu wengi wanatumia neno nimebarikiwa au nataka niombe nibarikiwe, lakini bado wengi wao hawajui maana ya neno kubarikiwa.   Kubarikiwa inamaanisha kusababisha kitu au mtu kufanya kazi kwa ubobevu wa hali ya juu zaidi kupita vipangamizi vyote. Kwa maneno mengine ule uwezo wa kile kitu au mtu aliokuwa nao ghafla unafunguliwa kutoka katika vizuizi na kila aina ya upinzani uliokuwepo kinyume nao na unaanza kutenda kazi kwa ubora wake wote.  Tunaweza kuona hili katika injili ya Mathayo 14: 15-21 ambao Bwana Yesu alishukuru na kubariki mikate mitano na samaki 2 ambacho kilikuwa chakula cha kijana mdogo na kuwalisha umati wa wanaume 5000 bila kuhesabu wanawake na watoto.  Mikate na samaki zilipokea nguvu ya kujizalisha bila kukoma, kiasi kwamba kila ikivunjwa na kugawiwa haikuisha wala kupungua. Huu ndio unapaswa kuwa uzoefu wa maisha yako kila siku, kwa sababu umebarikiwa kwa baraka zote za rohoni ndani ya Kristo Yesu. Wewe ni kama mti uliopandwa kando kando ya vijito vy...

A teeneger with a Difference

Image
 Welcome to the world of Aimbora Deus, a Christian teenager living in Southwest Tanzania. As an evangelist and icon of good and sound moral values, Aimbora’s faith in Jesus Christ drives his life decisions each day. Despite the ever-growing societal pressures placed on teenagers for acceptance by their peers—Aimbora courageously stands tall as a beacon of light amongst darkness and deception propagated by evil and mean men.  From participating in church and local community events to volunteering at ophanage homes—Aimbora is committed to His Lord & Savior Jesus Christ rather than fleeting joys provided by evil influences attempting coup d'états upon young minds like himself. He often finds solace from divine scriptures read during personal and group bible study or through regular conversations with members within the teevo club meetings he conduct once every week!  Of course there are days wherein he encounter challenges from his friends, studies and even at home but h...